walimu wa chuo cha uandishi wa habri AJTC na basdhi ya viongozi wa chuo cha walemavu cha usa riva jijini arusha katika picha ya pamoja ya furaha huku aliye kaa chini mwenye shati jeupe ni moja wa wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habri na utangazaji kwa levo ya diploma bwana Amani James
Presenter wa matukio yote, wa AJTC akipata machache toka kwa wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha AMBAE PIA NI KIONGIZI WA BURUDANI KATIKA KIKUNDI CHA WAKAGUZI CREW KILICHOPO KATIKA CHUO CHAO BWANA SAM.
Madam Neema Ezekiel akipiga picha na wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha
DON'T BOTHER YA JOH MAKINI IMEGHARIMU 32 MILLIONS
10 years ago
No comments:
Post a Comment