Binti
mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Mariam umemkuta umauti baada ya
kubakwa mpaka kufa,vijana hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu
walifanya kitendo hicho mbele ya eneo la kanisa huko Nachingwea
Lindi.Marehemu akitoka Nachingwea Resort katika muziki siku ya
ijumaa.Inasadikika kuwa marehemu alikuwa amelewa na watu walio mbaka
alitoka nao kwenye muziki.
Seedr one of the best
3 years ago
No comments:
Post a Comment