Maeneo ambayo yalionekana kushamiri zaidi kwa biashara hiyo ni Barabara ya Mwananyamala Hospitali, American Chipsi, Makaburi ya Kinondoni, Viwanja vya Leaders Club, Taasisi ya Moyo, Jolly Club (Masaki), Hospitali ya Agha-Khan, New Maisha Club (Masaki) na Coco Beach.
PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

+255788788218
Monday, July 15, 2013
.MACHANGUDOA DAR WASEMA "MCHANA TUNAFUNGA, USIKU TUNAJIUZA TUPATE HELA YA FUTARI NA DAKU"....
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) inayoendeshwa na mapaparazi wa Global
Publishers inazidi kufichua ‘madudu’ kwenye jamii, safari hii imekutana
na machangu ambao wamecharuka kuendeleza biashara hiyo kwa kisingizio
cha kutafuta fedha za kununulia futari.
‘Askari’ wa OFM, wiki iliyopita alifanya uchunguzi katika viunga
mbalimbali maarufu kwa biashara hiyo na kukuta machangudoa wakifanya
biashara yao kama inavyokuwa katika miezi ya kawaida.
Maeneo ambayo yalionekana kushamiri zaidi kwa biashara hiyo ni Barabara ya Mwananyamala Hospitali, American Chipsi, Makaburi ya Kinondoni, Viwanja vya Leaders Club, Taasisi ya Moyo, Jolly Club (Masaki), Hospitali ya Agha-Khan, New Maisha Club (Masaki) na Coco Beach.
Maeneo ambayo yalionekana kushamiri zaidi kwa biashara hiyo ni Barabara ya Mwananyamala Hospitali, American Chipsi, Makaburi ya Kinondoni, Viwanja vya Leaders Club, Taasisi ya Moyo, Jolly Club (Masaki), Hospitali ya Agha-Khan, New Maisha Club (Masaki) na Coco Beach.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Powered by Blogger.
No comments:
Post a Comment