.MACHANGUDOA DAR WASEMA "MCHANA TUNAFUNGA, USIKU TUNAJIUZA TUPATE HELA YA FUTARI NA DAKU"....
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) inayoendeshwa na mapaparazi wa Global
Publishers inazidi kufichua ‘madudu’ kwenye jamii, safari hii imekutana
na machangu ambao wamecharuka kuendeleza biashara hiyo kwa kisingizio
cha kutafuta fedha za kununulia futari.
‘Askari’ wa OFM, wiki iliyopita alifanya uchunguzi katika viunga
mbalimbali maarufu kwa biashara hiyo na kukuta machangudoa wakifanya
biashara yao kama inavyokuwa katika miezi ya kawaida. Maeneo ambayo
yalionekana kushamiri zaidi kwa biashara hiyo ni Barabara ya
Mwananyamala Hospitali, American Chipsi, Makaburi ya Kinondoni, Viwanja
vya Leaders Club, Taasisi ya Moyo, Jolly Club (Masaki), Hospitali ya
Agha-Khan, New Maisha Club (Masaki) na Coco Beach.
KWA MATANGAZO MBALIMBALI KUHUSU BIASHARA YAKO USISITE KUJITANGAA KUPITIA (KIKWATOJR.BLOGSPOT.COM) WASALIANA NASI KWA SIMU NAMBA +255718991013.+25575433520
No comments:
Post a Comment