Blogger Widgets ideaja na ujio mpya na mzee mzima Prof Jay | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Saturday, February 23, 2013

ideaja na ujio mpya na mzee mzima Prof Jay

Baada ya miaka mingi kupita tangu gwiji wa miondoko ya Hip Hop na Bongofleva, Joseph Haule  aka Prof. Jay kufanya kolabo na mwanashosti Judith Wambura aka Lady Jaydee, hatimaye wawili hao wamefungua mwaka kwa kuwapa mashabiki habari njema juu ya ujio wao wa pamoja.

Profesa Jay ameonyesha fuaraha yake hiyo kutokana na wawili hao kuiteka tasnia hii ya muziki kwa miaka mingi ambapo pia mwanashosti Jay Dee anatarajia kurekodi albamu yake mpya itakayokuwa ni ya sita kutoka kwa mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.