Baada ya miaka mingi kupita tangu gwiji wa miondoko ya Hip Hop na Bongofleva, Joseph Haule aka Prof. Jay kufanya kolabo na mwanashosti Judith Wambura aka Lady Jaydee, hatimaye wawili hao wamefungua mwaka kwa kuwapa mashabiki habari njema juu ya ujio wao wa pamoja.
Profesa Jay ameonyesha fuaraha yake hiyo kutokana na wawili hao kuiteka tasnia hii ya muziki kwa miaka mingi ambapo pia mwanashosti Jay Dee anatarajia kurekodi albamu yake mpya itakayokuwa ni ya sita kutoka kwa mwaka huu.
Seedr one of the best
3 years ago
No comments:
Post a Comment