Kampuni ya Mtanashati Entertainment inayo milikiwa na Ostazi Juma namusoma, inayojihusisha na burudani, sasa imeboreshwa zaidi na kuaza kutengeneza Nguo mbalambali zikiwemo za watoto kampuni ya Mtanashati Entertaiment yenye makazi yake maeneo ya Magomeni Mapipa mtaa wa Idirisa jijini Dar es salaam, imeaza kutengeneza mavazi mbalimbali yakiwemo ya watoto.
Kampuni ya Mtanashati Entertainment imeudhihirishiwa watanzania kuwa ipo kikazi zaidi, baada ya baada ya kuwanzisha utengenezaji wa nguo na vifaa mbalimbali kama vile miganda na mabegi.
kampuni hiyo, ambayo inamiliki wasanii wa bongo flava waonaofanya vizuri kwa sasa katika anga ya muziki wa Tanzania, miongoni mwa wasanii waliyopo chini ya kampuni hiyo, ni P.N.C, Dogo Janja, J FIL DAV, HAPPY BALICE NA AMAZON.
Msanii P.N.C kwa sasa anatamba na wimbo wake imebuma huku msanii Dogo janja ameonesha kuwatishia wasanii wengi wakubwa baada ya kujiunga katika kundi hilo na kutoa singo yake aliyomshirikisha msanii mwenzake P.N.C katika Single yake mpya inayokwenda kwajina la Ya moyoni.
Kampuni hiyo ilianzishwa 19/2009 na kuzinduliwa rasmi tarehe 9/9/2012 ndani ya Clab Bilcanas, toka kuzinduliwa kwa kampuni imeleta mapinduzi makubwa katika mziki wa Tanzania
KWA MATANGAZO MBALIMBALI KUHUSU BIASHARA YAKO USISITE KUJITANGAA KUPITIA (KIKWATOJR.BLOGSPOT.COM) WASALIANA NASI KWA SIMU NAMBA +255718991013.+25575433520
No comments:
Post a Comment