CHAMA CHA ADC SASA CHAKABIDHIWA USAJIRI WA KUDUMU
Baada ya kutafuta usajili kwa muda mrefu sasa chama cha ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE ADC kimeweza kupewa usajili wa kudumu utakacho kiwezesha kuingia rasimi katika kinyanganyiro cha uraisi mwaka 2010 ilikuweza kusambaza ilani ya chama hicho sasa kimepewa mashaririki ya kuhakikisha wanakuwa na matawi katika mikoa yote ya Tanzania bara na Tanzania visiwani ilikuweza kukiruhusu chama hicho kushiriki katika uchaguzi mkuu.


No comments:
Post a Comment