kwa mawasilianao waweza kuwasiliana nao watalamu hao wa afya uweze kupatiwa tiba lishe kitaalamu kwa simu no 0717 2226566 ama 0767 226566
picha ni aina ya dawa mbali mbali ambazo hutumika kutibu maradhi mbali mbali yatokanayo na lishe ambayotunazo kula na dawa hizo hazina kemikali kwani hutokana na matunda na mboga mbago na michanaganyiko mbali mbali.
wakiwa ziarani jijini tanga wakiwapatia huduma ya tiba wakazi wa jiji la Eanga picha ni moja kati ya wateja ambao blog ya kikwatojr.blogspot.com iliwashuhudia wakipatia tiba kwa kutumia vifaa vya kisayansi zaidi.
Pichani ni ndoo ya maji meupe kabisa yakiwa na kifaa kinacho tumika kitolea sumu mwilini kabla ya mgonjwa haja dumbukiza miguu humo ndani.
moja kati ya wateja waliohudhuria katika matibabu hayo akiwa ametumbukiza miguu ndani ya ndoo ya majii kwajili ya kutolewa sumu mwilini kwa kutumia mashine malum.
picha hii inaonesha jinsi maji yalivyoo badilika kutoka kwenye weupe hadikuwa na rangi hiyoo unayo jionesha hapo na hiyo ni sumu zilizopo mwilini ambao hutokana ma mavyakula tunayokula na matatizo mengine ya kibina damu.
KWA MAWASILIANA ZAIDI WAWEZA WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0717 2226566 ama 0767 226566
No comments:
Post a Comment