Blogger Widgets SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Tuesday, November 27, 2012

SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI



MSANII WA VICHEKESHO NA MUZKI SHARO

 

MILIONEA  AMEFARIKI LEO HUKO MUHEZA

 

TANGA KWA AJALI YA GARI AMBAPO NDUGU


 YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI 


AMETHIBITISHA  TUKIO HILO  KWA NJIA YA 


SIMU .....

 

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Afande Constatine Masawe, amethibitisha  kutokea kwa  kifo cha  wa Sharobaro, kufuatia  ajali ya gari  katika kijiji cha Lusanga, Muheza, mkoani Tanga  ambako ndio nyumbani kwao.......

 

MPAKA SASA MWILI UPO  HOSPITALI TEULE   YA MUHEZA ,TANGA


kikwatojr.blogspot.com imepokea habari hizi kwa mstuko na masikitiko makubwa kwani nyota ya Sharo Milionea ndiyo ilikuwa inaanza kung'ara katika anga za muziki pamoja na matangazo ya biashara, akiwa kayapumulia pumzi mpya wa ubunifu na weledi katika kupeleka ujumbe kwa watazamaji ambao wakubwa na wadogo walimpenda.

Tunaamini katika tasini ya filam na vichekesho kutakuwa na pengo kubwa sana kwani alikuwa ni mchekeshaji marufu sana na hata katika tasnia ya bongo freva pia kutakuwa na aliweza kufanya kazi kubwa na nzuri na wasanii wa hapa nchini pamoja na wasanii wa nnje na nyimbo yake ya mwisho inafahamika kama kizunguzungu akiwa amemshirikisha msanii alikiba na inafanya vizuri kwa sasa .

   Wote kwa pamoja na blog hii ina wapapole mashabiki na wapenzi wote wa Sharo milionea Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amen.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.