Kutokana kwa kushindwa kuhimili ma shariti ya zamana yaliyo tolewa awali na mahakama ya Mwana kwereke iliyopo visiwani Zanzibara Mahakama hiyo imependekeza kupunguza kwa viongozi hao wa jumuiya ya uamsho zanzibar
Hiyo imetokana na watumishi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kushindwa kujitokeza kuwadhamini washitakiwa hao Awali washitakiwa hao walitakiwa kuwasilisha wadhamini wawili wanaofanya kazi serikalini ikiwa na kusaini hati ya milioni moja kila mmoja sharti ambalo limeonekana kuwa kikwazo kwao Hivyo Hakimu Msaraka Ame Pinja alikubali kupunguza masharti hayo kutokan na wakili wa upande wa utetezi, Salum Tawfq kuomba kupunguzwa na kuangaliwa upya masharti ya dhamana kwa wateja wake Hivyo walitakiwa kila mshitakiwa kusaini dhamana ya fedha taslimu Sh. 500,000 za kitanzania na awe na wadhamini wawili na kupunguza mmoja ambao pia ni lazima wawe watumishi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. |
No comments:
Post a Comment