Blogger Widgets UAMSHO SASA WAPUNGUZIWA UNAFUU WA KUWEZA KUPATA ZAMANA | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Thursday, November 22, 2012

UAMSHO SASA WAPUNGUZIWA UNAFUU WA KUWEZA KUPATA ZAMANA


Kutokana kwa kushindwa kuhimili ma shariti ya zamana yaliyo tolewa awali na mahakama ya Mwana kwereke iliyopo visiwani Zanzibara Mahakama hiyo imependekeza kupunguza kwa viongozi hao wa jumuiya ya uamsho zanzibar

Hiyo imetokana na watumishi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kushindwa kujitokeza kuwadhamini washitakiwa hao

Awali washitakiwa hao walitakiwa kuwasilisha wadhamini wawili wanaofanya kazi serikalini ikiwa na kusaini hati ya milioni moja kila mmoja sharti ambalo limeonekana kuwa kikwazo kwao

Hivyo Hakimu Msaraka Ame Pinja alikubali kupunguza masharti hayo kutokan na wakili wa upande wa utetezi, Salum Tawfq kuomba kupunguzwa na kuangaliwa upya masharti ya dhamana kwa wateja wake

Hivyo walitakiwa kila mshitakiwa kusaini dhamana ya fedha taslimu Sh. 500,000 za kitanzania na awe na wadhamini wawili na kupunguza mmoja ambao pia ni lazima wawe watumishi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.