mkuu wa mkoa wa Tanga Luteni Msitafu Chiku Galawa akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za redio mwambao fm mara baada ya kutoka kwenye kipindi.
picha mkuu wa mkoa akibadilishana mawazo na menegar wa redio mwambao fm bwana Hashimu Gulana ofisini .
picha ni mkuu wa mkoa wa Tanga bi Chiku Akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya membara wa redio mwambao fm
Seedr one of the best
3 years ago
No comments:
Post a Comment