Blogger Widgets | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Monday, September 3, 2012

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA CHATOA POLE KWA WANDISHI HABARI .
Katibu wa chama cha demokrasia na maendeleo wilaya ya tanga mjini Khalid Rashid wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake zilizopo Maeneo ya Barabara ya 14 Jijini Tanga akizungumza kuhusiana na mauaji ya mwandishi wa habaya yaliyo tokea mjini Iringa huku pia akigusia kuhusiana na kusogezwa mbele kwa mikutano ya chama hico kupicha zoezi la sensa

pichani ni wandishi wa habari wakiwa wanasikiliza kwa makini maelezo ynayotolewa na katibu wa chama hicho kulia ni bwana Mbaruku yusufu na kushoto kwake ni Bwana oscar asenga .picha zote kwaniaba ya mpiga picha wangu bwana Selemani Kibuko

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.