Chama cha CUF Tanzania kimesema kupatiwa usajili wa kudumu kwa chama kipya cha ADC ambacho wanachama na viongozi ni wale waliotoka chama hicho cha CUF hakumaanishi ushawishi wa chama hicho sasa umefika mwisho wake.
Akizungumzia kusajiliwa kwa chama hicho mwenyekiti wachama cha wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba hata hivyo ametilia wasiwasi namnachama hicho kilivyopata usajili wa kudumu tofauti na inavyokuwa kwavyama vingine vya siasa.
picha kwaniaba ya mpiga picha wangu suleimani kibugo ze kankaraaa
No comments:
Post a Comment