Viongozi mbalimbali wakichangia agenda mbalimbali katika kikao cha viongozi wa mkoa kilichofanyika katika ukumbi wa mkuu wa mkoa Tanga . mkuu wa mkoa wa tanga vakifungua kikao cha viongozi wa mkoa.
picha ya juu ni ya mkuu wa wilaya ya muheza bi subila mgalu na picha ya chini ni ya mkuu wa wilaya ya kilindi bwana sulemani liwowa
picha hapo juu ni baadhi ya wandishi wa habari ambao wamehudhuria katika mkutano huo mkubwa ulio wajumuisha viongozi mbalii mbali wa mkoa wa tanga ukiwa na lengo la kutoa tathimini kuhusu sensa katika mkoa wa tanga na maendeleo mazima ya mkoa wa tanga .picha kwa niaba ya mpiga picha wa blog suleimani kibugoo ze kankaraaaaa.
No comments:
Post a Comment