Wagosi wakaya kutoka jiji tanga Coastal union hii leo wameweza kuutumia vilivyoo uwanja wao wa nyumbani kwa kuweza kuwadindia mnyma Simba aliye funga safari kutoka jijini dar es salam kwa kuweza kutoka suluhu ya bila bila katika muendelezo wa ligi ya voda kom
pichani wa kwanza kushoto ni mjumbe wa kamati ya utendaji ya klabu ya simba wakatikati ni afisa habari wa kilabu ya msimbazi ezekieli kamwaga na wamwisho ni mfanyakazi kutoka vodakom ambao ndio wazamini wa ligi hiyo wakijadiliana jambo kabla ya mechi kuanza katika uwanja wa mkwamkwani jijini tanga.
umati wa mashabiki mbali walifurika katika uwanja wa mkwakwani kuweza kucheki burudani baina ya wagosi wa kaya na mnyama simba ambapo hadi kipenga kinapulizwa kuashiria tamati ya mechi hakuna mbabe katika mechi hiyo.
picha na mwandishi wa blog oscar asenga toka tanga)
Seedr one of the best
3 years ago
No comments:
Post a Comment