Blogger Widgets kiongozi wa polisi zanzibar anena na wandishi kuhusiana na vurugu | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Thursday, October 18, 2012

kiongozi wa polisi zanzibar anena na wandishi kuhusiana na vurugu


Kamishna wa Polisi Mussa Ali Mussa akifafanua jambo katika Mkutano na Waandishi wa Habari akielezea juu ya Fujo na Ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi na kupelekea kifo cha Askari Mmoja,Mkutano huo umefanyika katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar.
vurugu zilizofanywa na wananchi wachache, Waziri Mohamed Aboud alisema vikundi vya vijana vinavyosadikiwa kuwa ni wafuasi wa Sheikh Farid Hadi walifanya vurugu hizo katika mitaa ya Darajani, Michenzani, Muembeladu,Magomeni,Amani wakidai Sheikh wao haonekani na kudhani amekamatwa na vyombo vya Dolan a kuwekwa ndani.
wakwanza kulia ni bwana mustapha musa moja kati ya wandishi wa habari waliohudhuria katika kikao hicho cha wandishi wa habari kilicho fanyika ziwani mjini unguja.
picha ni badhi ya maeneo ya jiji la zanzibara wakatio wa vurugu ya kikundi cha UAMSHO na polisi wa zanzibar

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.