Huku nota yake ikendelea kung'aa kila pembe, msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameingia mkataba na kampuni ya I-View Studios kwa ajili ya kusimamia kazi zake zote kwa muda wa miaka 2.
Taarifa iliyoifikia darhotwire kwa barua pepe, ilisema kuwa I-View itasimamia mikataba yote ya kazi zote za msanii huyo na yeyote atakayetaka kufanya kazi na Diamond kwa sasa itabidi awasiliane I-View.
Taarifa iliyoifikia darhotwire kwa barua pepe, ilisema kuwa I-View itasimamia mikataba yote ya kazi zote za msanii huyo na yeyote atakayetaka kufanya kazi na Diamond kwa sasa itabidi awasiliane I-View.
No comments:
Post a Comment