Blogger Widgets mnyama diamond sasa kula bata na kampuni! | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Wednesday, October 3, 2012

mnyama diamond sasa kula bata na kampuni!

Huku nota yake ikendelea kung'aa kila pembe, msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameingia mkataba na kampuni ya I-View Studios kwa ajili ya kusimamia kazi zake zote kwa muda wa miaka 2.
Taarifa iliyoifikia darhotwire kwa barua pepe, ilisema kuwa  I-View itasimamia mikataba yote ya kazi zote za msanii huyo na yeyote atakayetaka kufanya kazi na Diamond kwa sasa itabidi awasiliane I-View.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.