Blogger Widgets waislamu wachache kuandamana dar lengo ni kutimba ikulu | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Friday, October 19, 2012

waislamu wachache kuandamana dar lengo ni kutimba ikulu

wakiwa wamewekwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi

hapa kiwa anaulizwa na jeshi la polisi imekuwaje wakafanya madhamano hayo mmoja wa wandamnaji
 Muumini wa dini ya Kiislamu akishahadia kwa mola wake na kusema nipo tayari kufa kwa ajili ya kutetea dini ya Allah baada kukamatwa na Askari wa Kikosi cha Kutulia Ghasia katika viunga vya eneo la Ikulu. 

WATU sita waliokuwa na nia ya  kuandamana kuelekea Ikulu wamekamatwa na Jeshi la Polisi.

kwa mujibu wa waandishi wa habari waliopiga kambi katika viunga vya Ikulu watu hao walifika mmoja mmoja kabla ya kudhibitiwa na Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na kupelekwa Kituo Kikuu cha Kati. Kukamatwa kwa watu hao kunafuatia Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuwatawanya waumini wa dini ya Kiislamu ambao walikuwa na nia ya kufanya maandamano.

Waandishi wameshuhudia gari mbili za jeshi la Polisi zikiwa zimebeba wanajeshi waliokuwa na silaha.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.