Mama wa kijana aliyekojolea kitabu kitukufu cha Quran na kusababisha tafrani kubwa hapa nchini hatimaye amejitikeza na kuomba radhi i kwa kitendo hicho na kusema hakikupaswa kufanywa na jamii yoyote ulimwenguni.
Katika mahojiano maalumu aliyofanya na gazeti moja siku ya jumamosi bi Teresia Josephat amesema hakuwa kutegemea kama kitendo hicho kingelifanywa na mwanae Emmanuel Josephat (14
kwa kuwa hakumkuza katika malezi aina hiyo
Wiki mbili zilizopita ,katika mabishano ya rika kati ya kijana huyo na wenzake yalimfanya kijana huyo kukidhihaki kitabu kiutufu cha kuruani kwa marai kwamba angelifanywa hivyo angeweza kugeuka mnyama
Kitendo ambacho kilisababisha mlolongo ghasia kati ya vijana wa kiislamu na polisi na kukupelekea kuharibiwa kwa mali pamoja na uchomaji wa makanisa katika eneo la Mbagala jijini dar es salaam
No comments:
Post a Comment