Blogger Widgets mama wa mtoto aliye kojolea kitabu takatibu cha Qurani aomba razi kwa waisilamu | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Sunday, October 28, 2012

mama wa mtoto aliye kojolea kitabu takatibu cha Qurani aomba razi kwa waisilamu


Mama wa kijana aliyekojolea kitabu kitukufu cha Quran  na kusababisha tafrani kubwa hapa nchini  hatimaye amejitikeza na kuomba radhi i kwa kitendo hicho na kusema  hakikupaswa kufanywa na jamii yoyote ulimwenguni.

Katika mahojiano maalumu aliyofanya na gazeti moja siku ya jumamosi bi Teresia Josephat  amesema hakuwa kutegemea kama kitendo hicho kingelifanywa na mwanae Emmanuel Josephat (14
kwa kuwa hakumkuza katika malezi aina hiyo

Wiki mbili zilizopita ,katika mabishano ya rika kati ya kijana huyo na wenzake  yalimfanya kijana huyo kukidhihaki kitabu kiutufu cha kuruani  kwa marai kwamba angelifanywa hivyo angeweza kugeuka  mnyama

Kitendo ambacho kilisababisha mlolongo ghasia  kati ya vijana wa kiislamu na polisi na kukupelekea kuharibiwa kwa mali pamoja na uchomaji wa makanisa katika eneo la Mbagala jijini dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.