Blogger Widgets KAULI YA BWANA MISOSI KWAWOTE WANAOMPA USHIRIKIANO WAKATI HUU WAMSIBA WA KAKA YAKE MAREMU Emanuel Gabriel Rushahu! | Mfaume Kikwato JR

PALACE HOTEL

PALACE HOTEL

Vumbua Hazina chini ya kizibo

Vumbua Hazina chini ya kizibo
+255788788218

BAYPORT

BAYPORT
KOPA BAYPORT

Saturday, October 27, 2012

KAULI YA BWANA MISOSI KWAWOTE WANAOMPA USHIRIKIANO WAKATI HUU WAMSIBA WA KAKA YAKE MAREMU Emanuel Gabriel Rushahu!

Mambo vipi ndugu zangu asanteni kwa kunifariji' najua wapo wengi wangependa kuhudhuria mazishi ila kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wao watashindwa kuhudhuria mazishi leo siku ya ijumaa tar 26 oct, ila kwa rambi rambi zao kwa marehemu kaka yangu Emanuel Gabriel Rushahu wanaweza kutumia na hii M pesa 0763558855 nitaiwakilisha kwa familia katika daftari la michango na mwili tutauaga hapahapa nyumbani kinyerezi mida ya saa sita mchana pia misa ya mazishi ni saa nane mchana katika kanisa katoliki segerea na tutampumzisha katika makaburi ya hapohapo segerea..

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.