Kwaniaba ya wadau wa blog hii ya kijamii ya kikwatojr.blogspot.com tunapenda kukupa hongere zako raisi wetu mpendwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutimiza kwako miaka 62 ni mingi sana na mungu akujalie maisha marefu na hakima kama alizo mjaliya Nabii Suleiman .
No comments:
Post a Comment